Friday 11 July 2014

Arme kudedi ju ya tei/ gej- VIA SHENG LANGUAGE

Kuna arme flani alilazimishwa ku
take tot kinde na sita (16) za makali
na azikunywe na dakika salasa. Akiwa
kwa harakati ya kunywaku aka
lemewa na aka anza kumwaora. Na
hakuna venye msee mwingine
angemsaidia kunywaku. Hata wife wa
kwake alikuwa hasapo lakini
hangemsaidia kunywaku juu ilikua
dare ya aina yake.
Sa vile boiz
alianza kumwaora, wife alikuwa
anataka kumsaidia lakini du. Hata
ma arme wenzake na wasee hu serve
kwa baesa hawange eza kumwokolea.
Sasa ikabaki mjamaa
amekamanyuria.
Doki anadaisha
boiz alikamanyuria juu ya kukata tei
mob sana at once na mwili
haingeweza kuihandle.

Tunaingiza time ya mabash na watu
kujibamba kwa mabaesa, mtaani nini
nini, tunaomba tu, ka huwezani na
tei, temana tu nayo jo!

image

1 comments:

Anonymous said...

Hiyo najua ni countryman ama legend / meakins

TRENDING THIS WEEK

SPORTS